Wednesday, January 28, 2015

KUNA UKWELI GANI KUHUSU VYAKULA!!, JE? NI HALALI KULA VYAKULA VYOTE?

MATHAYO 15:10-20

  • Basi wewe utoapo sadaka, usipige panda mbele yako, kama wanafiki wafanyavyo katika masinagogi na njiani, ili watukuzwe na watu.
  • Amin, nawaambieni, Wamekwisha kupata thawabu yao. Bali wewe utoapo sadaka, hata mkono wako wa kushoto usijue ufanyalo mkono wako wa kuume;
  • sadaka yako iwe kwa siri; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.
  • Tena msalipo, msiwe kama wanafiki; kwa maana wao wapenda kusali hali wamesimama katika masinagogi na katika pembe za njia, ili waonekane na watu. Amin, nawaambia, Wamekwisha kupata thawabu yao.

BOFYA HAPA KWA MAELEZO SAIDI KUHUSU USOMAJI WA BIBLIA KWENYE MTANDAO.

No comments:

Post a Comment