- Nawe utakuwa salama, kwa sababu kuna matumaini; Naam, utatafuta-tafuta kando yako, na kupumzika katika salama. Tena utalala, wala hapana atakayekutia hofu; Naam, wengi watakutafuta uso wako.[Ayubu 11:18,19]
- Nalijilaza nikalala usingizi, nikaamka, Kwa kuwa Bwana ananitegemeza. [Zaburi 3:5]
- Katika amani nitajilaza na kupata usingizi mara, Maana Wewe, Bwana, peke yako, Ndiwe unijaliaye kukaa salama. [Zaburi 4:8]
- Hutaogopa hofu ya usiku, Wala mshale urukao mchana, [Zaburi 91:5]
- Ulalapo hutaona hofu; Naam, utalala na usingizi wako utakuwa mtamu. [Mithali 3:24]
Karibu sana katika blog hii, Na utapata kujifunza mengi kuhusu biblia huku ukishilikiana na ndugu, jamaa na marafiki kujadili maada mbali mbali za biblia. Kama una swali au maoni yoyote juu ya biblia unaweza kutoka comment yako ili upate majibu kutoka kwa jamaa, ndugu na rafiki zako..
Thursday, January 29, 2015
USINGIZI MZURI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment