Karibu sana katika blog hii, Na utapata kujifunza mengi kuhusu biblia huku ukishilikiana na ndugu, jamaa na marafiki kujadili maada mbali mbali za biblia.
Kama una swali au maoni yoyote juu ya biblia unaweza kutoka comment yako ili upate majibu kutoka kwa jamaa, ndugu na rafiki zako..
Ni kwanini watu wengi hufunga na kuomba lakini MUNGU anachelewa au hajibu kabisaa maombi yao?Kama una lolote la kuchangia kuhusu swala hilo unaweza andika coment yako hapo chini.
No comments:
Post a Comment