Wednesday, January 28, 2015

AMRI KUU KATIKA BIBLIA

MATHAYO 22:34-40

  •  Na Mafarisayo waliposikia ya kwamba amewafumba kinywa wale Masadukayo, walifanya shauri pamoja.
  •  Mmoja wao, mwana-sheria, akamwuliza, akimjaribu;
  •  Mwalimu, katika torati ni amri ipi iliyo kuu?
  •  Akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote.
  • Hii ndiyo amri iliyo kuu, tena ni ya kwanza.
  • Na ya pili yafanana nayo, nayo ni hii, Mpende jirani yako kama nafsi yako.
  • Katika amri hizi mbili hutegemea torati yote na manabii.

BOFYA HAPA KWA MAELEZO SAIDI KUHUSU USOMAJI WA BIBLIA KWENYE MTANDAO.


No comments:

Post a Comment