Wednesday, January 28, 2015

MATENDO NA MIENENDO YA WOTE WAMPENDAO BWANA.

MATHAYO 5:3-12
  •  Heri walio maskini wa roho; Maana ufalme wa mbinguni ni wao.
  •  Heri wenye huzuni; Maana hao watafarijika.
  •  Heri wenye upole; Maana hao watairithi nchi.
  •  Heri wenye njaa na kiu ya haki; Maana hao watashibishwa.
  •  Heri wenye rehema; Maana hao watapata rehema.
  •  Heri wenye moyo safi; Maana hao watamwona Mungu.
  •  Heri wapatanishi; Maana hao wataitwa wana wa Mungu.
  •  Heri wenye kuudhiwa kwa ajili ya haki; Maana ufalme wa mbinguni ni wao.
  •  Heri ninyi watakapowashutumu na kuwaudhi na kuwanenea kila neno baya kwa uongo, kwa ajili yangu.
  •  Furahini, na kushangilia; kwa kuwa thawabu yenu ni kubwa mbinguni; kwa maana ndivyo walivyowaudhi manabii waliokuwa kabla yenu.

BOFYA HAPA KUSOMA BIBLIA
BOFYA HAPA KWA MAELEZO SAIDI KUHUSU USOMAJI WA BIBLIA KWENYE MTANDAO.

No comments:

Post a Comment